TANGAZO......



pole na kazi dada


naomba unisaidi kunitangazia katika blog yako nimepotelewa na bahasha iliyokuwa na vyeti ndani ya daladala ya mwenge kwenda k'koo kupitia barabara ya sinza ndani kulikuwa na vyeti hivi leaving certificate ya form four na form six,cheti cha ukwata o'level na A' level, result slip,certificate of secondary education ya O'level,cheti cha kuzaliwa,na cheti cha computer,



vyeti yote hivyo vinasomeka kwa jina la VENANCE LUSINDE...na kulikuwa na DVD ya sendoff iliyo andikwa Mariamu.vimepotea tar 24/8


kwa yoyote atakayepata naomba tuwasiliane nami kwa namba hizi
0787 514920
0655 514920
0659 437711




ahsante kwa ushirikiano wako .



No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive