SIKU YA 4 "Diet"

Siku ya 4 unaionaje?

Endelea kupiga mwendo wa dakika 3o ukiamka tu, rudi zako home piga sit-ups 20-30

Kunywa maji ya moto/ uvugu vugu yaliokamuliwa ndimu/limao Glass 4

Achana na swala la kupiga mswaki kwanza

Piga Chai kikombe kimoja chenye kijiko kimoja tu cha sukari



Baada ya chai unaruhusiwa kupiga mswaki sasa



Ingia bafuni, oga

Kisha ondoka zako uende kazini.

Unaweza kuchukua tunda moja wakati unaondoka ukawa unakula njiani





Lunch:

Kiazi kimoja tu cha kuchemsha pamoja na mboga mboga kama Njegere, Karot n.k

weka chumvi tu ndugu yangu



Katika lunch hiyo hiyo, sukumia na Mushroom Soup

Jitahidi supu zako usiweke mafuta

Usisahau Maji 4 glasses, za maji moto au vuguvugu



Dinner:

Vegetable Platter, mboga za aina yoyote unayopenda wewe bila kuweka futahata tone

Ukiona imeshindikana, basi angalau kijiko kimoja tu cha mafuta "Alizeti: au Olive Oil

Na Samaki wa kuchoma, wa kuchoma rafiki "Sio wa Kukaanga"

Kula mzima, unywe na maji moto/ uvuguvugu glass 4



Unaruhusiwa kulala ungojee siku ya 5

Jitahidi asiwe samaki anaezidi robo kilo



No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive