Diet "Day 15" Nimeonelea swala la Baiskeli litakuwa gumu kidogo kwahiyo tuliache kwanza



Asubuhi ya siku ya 15 unatakiwa utembee au kukimbia kwa polepole kwa wastani wa saa nzima

Ukirudi unafanya sit-ups 50 -60

Unakunywa maji moto glass 4

Unakunywa kikimbe kimoja cha chai au kahawa chenye 1 kijko cha sukari



Toasted brown Brean 1 Slice

1 Boiled egg

1 Glass of Orange Juice





Katika maongezi ya kusubiria lunch badala ya kunywa bia unatakiwa unywe maji moto glass4

Lunch: inakuwa ni mishkaki 3 ya beef au kuku

Wali kipimo cha kikombe kimoja na sio zaidi

Na Mboga mboga za majani



Jioni pia utatakiwa utembee au ukimbie kwa polepole muda wa saa nzima

Baada ya hapo unafuatia na sit-ups 50 -60

Maji moto glass 4



Dinner ni nusu samaki wa kuchemsha

Njegere na glass moja ya Carrot juice









No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive