VOTE FOR GEOFREY

Wapenzi wadau na wasomaji wa napenda kuwafahamisha kuwa Geofrey Mwakibete wa MO BLOG ambaye amebahatika kuchaguliwa kuwa miongoni mwa washiriki wa shindano la SWAHILI FASHION WEEK AWARDS katika kundi la Wapiga picha bora wa Mitindo.

Bila nyinyi asingefanikiwa kupata nafasi hii hivyo tunaomba tuendelee kumpa sapoti na hamasa kwa kumpigia kura GEOFREY MWAKIBETE kupitia mtandao

http://www.swahilifashionweekawards.blogspot.com

Asanteni kwa Ushirikiano wenu.

NASKIA HIZI STATUE ZIKO KWENYE MOJA YA PARK HUKO KOREA















Na imani kuwa hii sehemu watakuwa wanaruhusu watu wa umri flani tu

Nimetumiwa na Kheri Elninyo

SHUKRANI ZANGU MWEZI NOVEMBER


Mwezi November ni mwezi wangu wa kutoa shukrani
Kuanzia tar 1 - 30 nitakuwa navaa nguo nyeupe tu kama ishara ya kushukuru
Nashukuru kwa Nuru ilioniangazia na mema yote niliotendewa na Mungu na binadamu wenzangu wanaonizunguka pia.

Yoyote anaependa kuungana na mimi katika kushukuru anakaribishwa pia.
Sina kitu chochote zaidi cha ku post katika blog hii.
Bali picha zangu za nguo nyeupe kwa siku 30 kuanzia tar 1 November
Lakini kama kuna mtu yoyote ana kitu chake chochote angependa ni post nitafanya hivyo

Asanteni kwa kunipenda, kunivumilia na kunipa moyo
Hali yangu si nzuri sana na sina muda mwingi wa kushiriki vitu mbalimbali kama performances na hata kuifanya blog iwe active

Ila muda wowote nitakaopata tutagawana

Mungu ni mwema, Mungu ni mkuu na amenitendea makubwa
Narudisha shukrani zangu kwake mwezi wote wa November na siku zote za maisha yangu

With lots of LOVE and Respect to you All

Jide " No Longer -BintiMachozi", but Forever Komandoo, Wallet, Shangazi
The One and only Judith Wambura Mbibo (Habash) a.k.a LADY JAYDEE


ASANTENI KWA KRA ZENU....Jestina alishinda ile tuzo na haya ni machache toka kwake


SALAM,

Napenda kutoa shukurani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu, Familia yangu, Marafiki zangu, mashabiki wangu, wadau na watanzania wote kwa ujumla walioweza kunipigia kura ambazo zimefanikisha blog ya MissJestinaGeorge kuibuka kidedea na kunyakua ushindi mkubwa wa kuwa ''BLOG BORA YA MWAKA 2011'' katika tuzo za BEFFTA zilizofanyika nchini UK mapema wiki iliyopita.
Mchakato mzima wa kumtafuta mshindi ulikuwa na changamoto lukuki ukizingatia ya kwamba kulikuwa na jumla ya blogs 15 za kimataifa kutoka nchi mbali mbali Duniani. Kutokana na ushirikiano wenu mzuri mmeiwezesha blogu yetu kupata ushindi mnono na vile vile kunipatia fursa nzuri ya kuiwakilisha vyema Tanzania Ughaibuni.

Ni vigumu kumshukuru kila mtu mmoja mmoja kwa mchango wenu uliosadia kuwezesha blog yetu kunyakua ushindi mkubwa ingawa ningependa kuwatambua wafuatao: kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu zote za dhati kwa timu ya URBAN PULSE CREATIVE kwa mchango wao mkubwa waliotoa, wanachama wenzangu wa AMTTA (Amka Mwanamke Twende Tujikomboe Afrika) kwa kuwa na mimi bega kwa bega nawapenda sana. Pia natoa shukrani kwa Bloggers wenzangu wote, tovuti mbalimbali, TONE RADIO popote pale walipo kwa michango yenu.

Nawasihi sana tuendelee kushikamana, kupendana na Kusaidiana kwa hali na mali ili isiwe tu kuleta maendeleo nchini kwetu bali pia kupeperusha bendera ya nchi yetu Tanzania Duniani kote.

Napenda kuitoa wakfu tuzo hii kwa dada yangu mpendwa Kissa George aliyetutoka
''I miss you so much Sis'' najua kama angekuwa hai angefurahia sana.
Mwisho namshukuru sana binti yangu Iman ambae amekuwa nguzo na muhumili mkubwa katika maisha yangu kwa kunipatia nguvu za kuendelea mbele siku hadi siku.

Binadamu kushukuru ni wito ila leo umekuwa ni wajibu wangu.
Asanteni sana,
Mungu awabariki sana na ninawapenda sana
Jestina George

Herman Munster - Played by actor Fred Gwynne

Frederick Hubbard Gwynne was born on July 10, 1926 in New York, New York.  He is most famous for playing the role of the Frankenstein like Herman Munster on the TV show The Munsters in the 1960s.  He is also well known for his role as Officer Francis Muldoon on Car 54, Where Are You?


Fred Gwynne played the role of Herman Munster on the TV comedy The Munsters

Fred landed his TV debut in a 1953

Tutakukumbukaaaaa, Baba wa Taifaaa, Wema Amani, Busara, Twaviweka Mioyoniiii

Mungu ni mkubwa hatuwezi kulaumu kwanini ulienda mapema sana ila ki ukweli
Hali si shwari huku nyuma

CAPTAIN AKABIDHIWA ULE MZIGO AMBAO ULITAKIWA UWE WA !!!!!!!



Hili zoezi limefanyika leo, bado la moto moto

TANGAZO........TANGAZO............TANGAZO!!!!

NEEMA HERBALIST AND NUTRITIONAL FOODS CLINIC.

Tunatibu harufu mbaya ya kinywa, kikwapa, pamoja na vipele vya ndevu. Dawa yzetu ni za kienyeji na matokeo yake ni ya uhakika..Kwa wewe unayesumbuliwa na vipele vya ndevu ukitumia dawa yetu hotopatwa tena na vipele hivyo vya ndevu mara baada ya kutumia dawa yetu. Pia tunayo dawa ya KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE ( ASHKHI ) pamoja na dawa nyinginezo za kienyeji. Dawa zetu hazina side effect.

Tupo eneo la Changanyikeni karibu na Chuo cha Takwimu.

Kwa maelezo zaidi piga simu namba : 0767010756 au 0787010756

Au tembelea blogu yetu ; http;//www.neemaherbalist.blogspot.com..


KUMBUKA KU VOTE TENA KWA AJILI YA BLOG YA JESTINA ....Ili apate Tuzo


MISS JESTINA GEORGE BLOG HAS BEEN NOMINATED FOR BLOG OF THE YEAR 2011 @ BEFFTA AWARDS. VOTING HAS NOW STARTED & IT'S ONLY 3 DAYS LEFT THE VOTING LINES WILL CLOSE. IT'S EASY & IT'S ONLINE JUST VISIT http://www.beffta.com/voting FILL IN YOUR NAME EMAIL ADRESS, UNDER CATEGORY CLICK NEWS 4. BLOG OF THE YEAR AND UNDER NOMINEE CLICK AND VOTE FOR MISS JESTINA GEORGE THEN CLICK SUBMIT YOUR VOTE.

Thank you for your support & God bless you. LOVE YOU ALL

--
Jestina George

Elvira played by Cassandra Peterson

Cassandra Peterson was born September 17, 1951 in Manhattan, Kansas.  She is best known for her role as sexy, Movie Macabre hostess Elvira, Mistress of the Dark.  Believe it or not, she did play roles other than Elvira even though that has been her dominating character over her career.  She may not have been recognizable out of her Elvira makeup.




Elvira aka Cassandra Peterson was the host of

FAINALI YA BONGO STAR SEARCH


Binafsi ningependelea kama Bella angeshinda, sio kwaajili ya Milioni 40.
La hasha, ila ni kwasababu ya kuongeza idadi ya wasanii wa kike katika game
Wanaume wako wengi sanaaaa

Please Vote for our own Bella Kombo "a.k.a Njuu"

MAMBO NA PICHA MBALI MBALI ZA YANAYOENDELEA KUJIRI " Nyumbani Lounge"

Bila shaka huu utakuwa ni mwili mmoja

Mwili ukiwa na wapambe, kama sikosei


Hii ni kila Jumamosi, Groove Back night, Peter Moe, Kelvin na watu kibaooooooo









GARI INAUZWA




Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0767 884007 au 0784 884007
Ongea na Captain G Habash

DIET SIKU YA 15 -21, Round ya 3.........


Hii wiki inaweza kuwa ni rahisi sana au inaweza kuwa ngumu kutegemea na utakavyoichukulia
Chagua mlo mmoja tu mzito kwa siku, muda mwingine jazia jazia tu
Sio lazima ule asubuhi mchana jioni

Maji na matunda ni vitu vinavoweza kuchukua nafasi kubwa katika tumbo lako na kufanya usisikie njaa na kutamani kula mara kwa mara.
Kama unajua kuogelea unashauriwa kufanya hivyo dakika 20 -30 angalau mara moja kwa wiki
Ukitaka muscles zi function vizuri kunywa atleast maji litres 2 kwa siku kama unafanya mazoezi

Kama hufanyi mazoezi kutegemeana na afya yakounaweza kunywa 1.5litres kutegemeana
Jitahidi kuepuka maji baridi, kunywa maji kawaida au ya uvugu vugu.

Day 14 - 21


Hazitofautiani sana
Unatakiwa kuchagua simple breakfast ya mfano huu

Break fast Choice ya 1:

2 Slices of toasted brown bread
1 small banana
1 boiled egg
1 glass of orange juice
1 Kiwi fruit
ofcourse unaweza kunywa na Coffee au Tea yenye kijiko kimoja tu cha sukari

Break fast Choice ya 2:

Cornflakes na maziwa ambayo ni skim
Matunda yaliokaushwa "Dried fruits"
1 fried egg

Unaweza kuongezea vitu kama yoghurt katika breakfast yako

Light Lunch:


Inashauriwa kula chakula ambacho kuna matunda na mboga zenye rangi mbali mbali, inaaminika kila rangi ya chakula ina umuhimu wake katika mwili.
Mbali na kuvutia kwa sura.

Katika kuchagua unaweza kula vitu light kama:

Roasted beef
Boiled Chicken
Grilled fish

na katika kila mlo unaweza kuambatanisha na Coocked vegetable, toasted bread kama slice 2 hivi zinatosha, rice 1 cup au boiled banana (bukoba)
Ni muhimu pia kula matunda kiasi

Unaweza kubadili kwa jinsi unavyopenda huku ukizingatia kuweka kiasi kidogo sana cha chakula kwenye sahani yako.
Ukiweza kuepuka red meat pia ni jambo la busara zaidi




Dinner:


Salad inatakiwa kwa wingi sana kila usiku
Itengenezwe kwa kuweka vitu mbalimbali vyenye rangi tofauti
Kama nyanya, vitunguu, letuce, olives (black or green) hoho za rangi tofauti n.k

Kula vitu light kama:

Chicken stir fry with noodles
Supu ya samaki/ Kuku
Mishkaki

Bila kula wanga kama Ugali, Viazi (Chips) au Wali nyakati za usiku

Katika kila mlo zingatia kunywa maji moto
Fanya mazoezi angalau mara 3 kwa wiki, likiwemo zoezi la kikubwa

Picha halisi za humo ndani kumefikia hali gani tukiumaliza mwezi wa pili.

Mazoezi unayotakiwa kufanya katika mlolongo huu ni:

Kuruka kamba dakika 20 -30 "mara 3 -4" kwa wiki
Sit ups 100 - 150
Kutembea au kukimbia kama hutaweza kuruka kamba.
Kuogelea angalau mara moja kwa wiki
Na kushiriki katika tendo la ndoa mara 3-4 kwa wiki

VIDA MAHIMBO NEW LINE


Mbunifu maarufu wa mavazi kitaifa na kimataifa Vida Mahimbo amezindua rasmi nguo za VIDA MAHIMBO NEW LINE FOR "CURVY WOMEN" anazoziuza katika duka la nguo la Fuchsia Boutique lililopo katika hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam pamoja na duka lake la Slipway Shopping Centre-VIDA MAHIMBO STORE.



Baadhi ya wateja wakiangalia ubunifu kutoka Tanzania











Pita ukacheki, mimi ninazo za kwangu 2 kama hizo alizoshika mkononi, nina nyeupe na ya blue
Very nice

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive