Day 9 "DIET"





Asubuhi ni kukimbia, hapana kutembea tena

Ukirudi ni sit ups

Then maji moto glass 4



Breakfast ni Kikombe cha chai, au kahawa na slice 2 za mkate wa brown



Lunch ya siku ya 9 ni mtori wa Nyama, ukubwa wa bakuli hilo pamoja na mchicha au mboga nyingine ya majani unayopenda



AU




Ndizi bukoba, maharage, mchicha na nyama

Matunda kwa wingi, jitahidi potion ya chakula chako isiwe kubwa sana

Itakuwa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu, ukiendekeza kufundia sana



Unaweza pia ndizi ukazipika kwa muenekano wa kuvutia ili zikatia hamu ya kula pia kuongeza ladha.

Au pia zinaweza kupikwa simple lakini zikawa tamu vile vile

Kila mtu ana mapishi yake

Katika kila mlo lazima kuambatane na maji moto/ vuguvugu glass 4



Jioni ukimaliza shughuli zako kimbia dk.45 ukirudi nyumbani kunywa maji moto/ vuguvugu glass 4



Usiku ni bakuli la Vegetable soup na Glass ya orange Juice

Baada ya hapo jilalie usitegemee makuu

Si ulikula mtori, au ndizi bukoba na nyama mchana sasa usiku jikaushe tu



No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive