Diet "DAY 17"

  • Asubuhi shughuli ya kwanza ni kukimbia saa 1
sit ups 60 -65

Maji moto glass 4



Breakfast: 1 Glass ya juice ya Nanasi ukiamua kula hata na nanasi lenyewe pia

Cornflakes na maziwa "Kipimo kiwe cha wastani"

Coffee au Tea kikombe kimoja chenye 1 sugar

2 fried eggs "tumia olive oil au mafuta ya alizeti kijiko kimoja tu"













Kipindi cha mchana kikifika pia unatakiwa unywe maji moto glass 4

Kabla, au baada ya mlo



Lunch: BBQ Fish, Salad na ndizi moja ya kuchoma



Jioni wakati jua likizama unatakiwa kukimbia muda wa saa 1 nzima

na kufanya sit ups 60 -65.

Unatakiwa vile vile kunywa maji moto glass 4



Dinner: 2 toasted white bread na supu ya Vegetables







No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive