منتديات عطعوط: xnxx سكس عربى افلام سكس قصص سكس صور سكس جنس عرب محارم 89 sex
MAISHA UPANDE WA PILI WA SARAFU.
Tajiri wa maeneo hayo anajenga Guest House kwa mbele ambayo kuna self contained vyumba viwili ambavyo ata charge alfu 5,
vingine atafanya alfu 3. Lakini pia na hiyo Guest House ya buku 2 itaendelea kuwepo kama kawaida maana kwa sasa inajaa sana hadi kwa kulala wageni wanakosa,
Guest ya buku 2 ina jumla ya vyumba 10.
Hiki ni moja wapo ya chumba kilichopo kwenye Nyumba ya kulala wageniGuest House hiyo, chumba unalipa shilingi Alfu mbili tu 2,000/=
Watu wanakaa hapa kujipimzisha baada ya shughuli zao za kila siku
Na hii ni kawaida tu kwakuwa bado hawajafahamu au hawana uwezo wa kutumia vitu kama Blender kurahisisha kazi zao za mikono
Lakini kila wanachokula ni Natural hakipitii kiwandani wala kuongezwa kemikali za ziada
Unaweza kuamini haya ni maji ya kunywa?
Kuna binadamu wanakunywa maji ya aina hii, Yes!! ni hapa hapa Tanzania
No comments:
Post a Comment