Unaweka na vipendezeshea na viongezea ladha kama karot, hoho au njegere na kijiko kimoja cha mafuta ya alizeti au Olive oil.
Kisha lala
Siku ya 7 ndio kuna mambo ya wine kidogo
Katika milo yako yote kuanzia asubuhi mpaka jioni uwe umekunywa maji wa moto/ uvuvguvugu jumla ya glass 12 na uwe umetembea jumla ya saa 1 zima
na kufanya sit-ups 40 -60 kwa siku
Usisahau kula matunda kwa wingi na mboga mboga
No comments:
Post a Comment