
Hatua ya 1. Andaa kila kitu kwanza kuliko kuanza kukimbia kimbia wakati wa kupika
Unakata kata mbwembwe za aina tofauti katika vipande vidogo vidogo sana
Karot, Hoho za rangi rangi, Vitunguu maji na Vitunguu Thaumu vya kuponda vya kutosha
Hayo ndio mahitaji ya mwanzo


kisha vitoe jikoni umwage maji yoyote yaliobaki na kuviacha vikiwa vikavu




Ukipakua inaonekana hivi, ukila sasa ndio usiseme
Wengine hukamulia na ndimu au Limao kwa juu, kutokana na upendeleo wa ladha ya mtu mdomoni kwake
Vinapatikana pia Nyumbani Lounge
Wengine hukamulia na ndimu au Limao kwa juu, kutokana na upendeleo wa ladha ya mtu mdomoni kwake
Vinapatikana pia Nyumbani Lounge
No comments:
Post a Comment