
Utembee nusu saa ukiamka tu, Ukirudi nyumbani fanya sit-ups 20 -30
Kunywa glass 4 za maji moto/ uvuguvugu "maji unaweza kukamulia ndimu/limao.
Ila breakfast ya siku ya 3 ni: KIKOMBE KIMOJA TU CHA KAHAWA AU CHAI
Chenye kijiko kimoja cha sukari

Lunch ya leo inakuwa ndizi 2 za kuchemsha "Bukoba" sio sweet Banana
Na bakuli la Vegetable Sopu na matunda kwa wingi.

Fanya sit-ups 20-30
Oga vizuri subiria chakula cha usiku huku ukinywa glass zako 4 za maji moto/ uvuguvugu, unaweza kuwa unakula na matunda pia
Dinner ya siku ya tatu ni BBQ Sausage 3 na Salady
Baada ya hapo you call it a day, jilalie kwa amani ungoje siku inayofuata iitwe kesho
Baada ya hapo you call it a day, jilalie kwa amani ungoje siku inayofuata iitwe kesho
No comments:
Post a Comment