Asubuhi ya siku ya 15 unatakiwa utembee au kukimbia kwa polepole kwa wastani wa saa nzima
Ukirudi unafanya sit-ups 50 -60
Unakunywa maji moto glass 4
Unakunywa kikimbe kimoja cha chai au kahawa chenye 1 kijko cha sukari
Ukirudi unafanya sit-ups 50 -60
Unakunywa maji moto glass 4
Unakunywa kikimbe kimoja cha chai au kahawa chenye 1 kijko cha sukari
Toasted brown Brean 1 Slice
1 Boiled egg
1 Glass of Orange Juice
1 Boiled egg
1 Glass of Orange Juice


Lunch: inakuwa ni mishkaki 3 ya beef au kuku
Wali kipimo cha kikombe kimoja na sio zaidi
Na Mboga mboga za majani

Baada ya hapo unafuatia na sit-ups 50 -60
Maji moto glass 4
Dinner ni nusu samaki wa kuchemsha
Njegere na glass moja ya Carrot juice



No comments:
Post a Comment