Kuna njia nyingi sana ambazo watu huwa wanajaribu ili kupunguza mwili na tumbo lakini either zinakuwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanamoishi hivyo kupelekea kushindwa njiani.
Zipo njia za kutumia madawa kama kahawa na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu.
Kwakuwa kahawa huwezi kutumia zaidi ya round 3 kwa maana hiyo ukinenepa tena inabidi utafute njia nyingine.
Lakini njia hii ifuatayo unaweza kuifanya ikawa ni maisha yako ya kila siku ikazoeleka na ukawa unaishi hivyo hivyo bila kuongezeka mwili.
Mara nyingi vyakula tunavyokula na vinywaji tunavyokunywa ndio vinatuponza
Sasa, je! Unaweza kujaribu kuishi hivi bila ku cheat hii process???
Zipo njia za kutumia madawa kama kahawa na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu.
Kwakuwa kahawa huwezi kutumia zaidi ya round 3 kwa maana hiyo ukinenepa tena inabidi utafute njia nyingine.
Lakini njia hii ifuatayo unaweza kuifanya ikawa ni maisha yako ya kila siku ikazoeleka na ukawa unaishi hivyo hivyo bila kuongezeka mwili.
Mara nyingi vyakula tunavyokula na vinywaji tunavyokunywa ndio vinatuponza
Sasa, je! Unaweza kujaribu kuishi hivi bila ku cheat hii process???


Na kama mkakati wako ni kupunguza Tumbo pia, Ukirudi fanya sit-ups 15 -20 kwa siku ya kwanza. Ukiona ni ngumu unaweza kujaribu kuanza hata na 10. Utaongeza kadri siku zinavyoenda na kadri utakavyokuwa unazoea maumivu ya nyama za mbavu.
Unaweza kutumia Bench au unaweza kulala sakafuni
Kwa wanaoishi Dar es Salaama ma bench ya Sit ups yanapatikana Shopperz Plaza kwenye duka la vifaa vya michezo
Unaweza kutumia Bench au unaweza kulala sakafuni
Kwa wanaoishi Dar es Salaama ma bench ya Sit ups yanapatikana Shopperz Plaza kwenye duka la vifaa vya michezo

Sio lazima uyanywe yote kwa wakati mmoja
Unaweza kuwa unakunywa huku unaendelea na mambo mengine mpaka glass 4 ziishe
Ili kuongezea ladha unaweza kukamulia ndimu au limao katika maji hayo ya uvuguvugu
Limao na ndimu sio tu huongeza ladha bali pia vinasaidia kupunguza mafuta mwilini
Baada ya hapo unaruhusiwa kwenda kuoga, na kujiweka sawa ila usipige mswaki
Nitakwambia kwa nini!!

Unaruhusiwa kunywa kikombe 1 cha kahawa au Chai lakini usiweke zaidi ya kijiko 1 cha sukari

Slice 1 tu ya brown bread tena iwe toasted, usithubutu kuweka Siagi wala vinavyofanana na hivyo

Baada ya hapo unaweza kupiga mswaki sasa na kuendelea na shughuli zako
Ila kabla ya kuendelea na shughuli zako ni lazima utaenda haja kubwa
Ndio lengo hasa la kutopiga mswaki kabla ya breakfast

Kula upande wa kuku Robo, 1/4 my friend kama ni upande wa paja ndio uliochagua
Kuku unaetakiwa kula ni lazima awe wa kuchoma au kuchemsha na si vinginevyo
Ukitaka upande wa kipapatio ndio utakao kuwa umeuchagua pia.
Unaruhusiwa kusindikizia na kachumbari/ au hata Salady zenu za kizungu za mahotelini
Kama ukiona hujashiba kunywa maji.

Kumbuka lengo sio kushiba bali kupunguza mwili.
Baada ya hapo ni lazima unywe tena maji ya uvugu vugu glass 4
Epukana kabisa na maswala ya juice zenye sukari nyingi

Halafu ukamalizia na sit ups ukingoja Dinner

Huu ndio uwe mlo wako wa kufunga siku "Supu ya Samaki"
Samaki wa aina yoyote tu ile weka bakuli kubwa la kutosha.
Ila pia, hakikisha supu hiyo ni chuku chuku na haina mafuta wala viazi hata kidogo
Nikutakie siku njema na majaribio mema
Tukutane tena Day 2:
Kama kweli una nia
Hii ngoma inaenda mwezi mzima
KUMBUKA PENYE NIA PANA NJIA
No comments:
Post a Comment