KAMA ULIFATISHA DIET MWEZI WA KWANZA.... UKAFATISHA NA HII YA MWEZI WA PILI IPASAVYO....Unaweza kuwa karibia au kufikia hapa.

Baada ya kumaliza mwezi wa pili mimi na hakika nitakuwa na tumbo kama hili.

Maumbile tunatofautiana kuna wenye maumbo makubwa zaidi ila nahakika pia mtakuwa mmepungua kwa kiwango mnachopenda kuwa kwa vile kila mtu ana malengo tofauti.

Focus zaidi iko kwenye tumbo na sio sehemu zingine za mwili

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive