DIET YA MWEZI WA PILI ITAANZA TENA JUMATATU YA TAR 26 SEPTEMBRE!!!


Napenda kuwataarifu wale wote wanaofuatilia mlolongo wa mlo na mazoezi kupitia blog hii kuwa tutaendelea mwezi wa pili mpaka kieleweke.


Nimepokea e mail mbalimbali zikiomba kutumiwa diet yote ya mwezi mzima
Ila kuondoa usumbufu nitakuwa na post ya siku 5 kwa mara moja ili muweze ku print kabisa na kuendelea nayo, baada ya siku kadhaa tena na toa ya siku 5 mfululizo.

Kwa wenye nia natumaini mtafatilia, mniwie radhi sitaweza kumtumia kila mtu mmoja mmoja kwenye e-mail yake....
Na tukutane Jumatatu basi ya tar 26 Septembre kwa awamu ya pili


No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive