CHANGARAWE





Changarawe/Chagarawe1

Mbunge wa jimbo la Mvomero mkoani Moropgoro (CCM) Amos Makala (kushoto) akikabidhi compyuta na printa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya shule ya Msingi Changarawe iliyopo Kata ya Mzumbe, Makunza Mloka. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni shule hapo baada ya Mbunge huyo awali kuipa fedha shule hiyo kwaajili ya kuingia umeme uliogharimu zaidi ya sh Milioni 4. Anaeshuhudia katikati ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Cryspin Chimbamizungu.



(Picha na Mroki Mroki).



No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive