UKARIMU WA WATANZANIA WAISHIO ATHENS - UGIRIKI


Flowers zinalipa, mwenye chui chui anaitwa Mwanaidi a.k.a Mona ndio mtoa story wa mizunguko ya hapa Greece story zote zitawajia kwa hisani yake bila Malipo








Dada anajulikana kama MACHO ndio mwenyeji wangu anaenipikia ugali kwa Vyuku nikirudi nimenona basi mkono wa huyu pia umechangia

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive