Naskia huku maandamano ni kitu cha kawaida na kusikia kelele za mabomu ya machozi wala sio ishu pia
Wakati nasimuliwa story hizo haijapita hata lisaa maandamano yakawasili sehemu hiyo
Mwenyeji wangu hakupata kufahamu kwa undani ni maandamano ya nini lakini inakisiwa kuwa ni wanafunzi, pengine kuna haki waliokuwa wanaililia Wanaweza kuamua tu shule ifungwe mwezi mzima
Video hii nilikamata maandamano hayo kwakuwa nilikuwepo eneo la tukio Japo mpaka naondoka sikuwa nimefahamu chanzo chake ni nini
No comments:
Post a Comment