Kila sanamu moja lina uzito wa takribani tani mia moja au zaidi
Park hii kwa mara ya kwanza ilikuwa inamilikiwa na mtu anaitwa Hans Jacop na ndio alieigundua hii sehemu karne ya 18.
Baada ya yeye kufa ilichukuliwa na jamaa mwingine Bernt Anker miaka ya 1746 - 1805
Benjamin Wegner akaichukua 1836 na kui transform kuwa Romantic Park mwaka 1840
Na huo ukawa mwisho wa watu binafsi kuiendesha Park hiyo baada ya kuchukuliwa na Manispaa mwaka 1896 mpaka leo hii ninapo andika ujumbe huu
No comments:
Post a Comment