Sasa yuko mitaa ya huku analiendeleza, ndio alikuwa mpiga drums wakati nafanya show, kushoto ni mpiga Solo
Jina la Baba yake maana yake Njiwa.. Kwahiyo anaitwa DUBU NJIWA
Ukimshangaa sana anakwambia mbona waswahili kuna wengine wanaitwa Simba pia
Anakibonga ki swaa kama kawa, niko mbioni kufanya nae Collabo yeye atapiga chombo chake tu
No comments:
Post a Comment