Train hizo ziko 2, hazitumii nguvu ya umeme, ila zinatumia nguvu ya zenyewe kuvutana
Wakati Train moja inapanda, nyingine ya pili inashuka na mvutano huo ndio unapelekea zenyewe kusogea mpaka kufika mahala husika
Zamani walikuwa wanapatikana hata hapa kwenye huu mlima tuliopiga picha
Lakini kadri miaka inavyozidi kusogea wanahamia mbali, kwakuwa binadamu wanajenga makazi yao..
Mlidhani Africa tu ndio kuna wanga, jaribuni na huku muone!!!
Imagine Ndege imekuacha unaliomba limjamaa likubebe mpaka Dar, sidhani hata kama itazidi nusu saa hujafika home
Kutengeneza History tu kuwa harusi yao imefungiwa juu ya mlima
Ndio mara yangu ya kwanza kukanyaga Norway, sasa ningeyajuaje???
Huyo jamaa hapo kulia kwangu, Mkenya flani hivi ndio alikuwa ananisimulia, yeye ndio mwenyeji aliekuwa ananizungusha.
Kama kuna vya uongo basi ni yeye.
No comments:
Post a Comment