Hii ni nyumba nyingine anamoishi mrembo huyo ambayo anaiita nyumba kubwa
Humu ndio anaishi na mzee na anaiheshimu sana na si kila mtu anaingia kiholela
Je! Kuna Mwenye swali??
Tukala pilau tukapiga mastory tukabanjuka.
Alikuwepo Bw.Hassan Nganzo a.k.a Thug Life na DJ Humphrey
Kama kuna mtu pia ana picha za nyumbani kwake na angependa ku share na watu anakaribishwa.
Kama kuna aliechukizwa basi ataniwia radhi hii nimeweka kwa mapenzi mema tu nikidhani kuna baadhi watafurahi kuona mambo tofauti ya watu tofauti
Tukala pilau tukapiga mastory tukabanjuka.
Alikuwepo Bw.Hassan Nganzo a.k.a Thug Life na DJ Humphrey
Kama kuna mtu pia ana picha za nyumbani kwake na angependa ku share na watu anakaribishwa.
Kama kuna aliechukizwa basi ataniwia radhi hii nimeweka kwa mapenzi mema tu nikidhani kuna baadhi watafurahi kuona mambo tofauti ya watu tofauti
No comments:
Post a Comment