PARTY YA KUSHEREHEKEA USHINDI WA YANGA IKO JUMATANO HII.........

Dinner na Party ya pamoja ya wachezaji wote wa Yanga, kutakuwa na nafasi ya kupiga picha na Kombe...Collection ya muziki wa kijanja mpaka mtu achoke
Maalum kwa wapenda michezo wote na wapenda burudani
Sio kwa ajili ya Yanga tu, ni kwa mtu yoyote anaeitakia heri nchi hii

Ni Nyumbani Lounge kuanzia saa 1 kamili za jioni
Mkaribie tufurahi kwa pamoja

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive