NAKUMBUKA KUTOA SHUKRANI KWA BINTI AFRICA






Shukrani ni neno dogo sana lakini na imani lina maana kubwa ukilitoa pale linapostahili
Nilipokea zawadi hizi muda kidogo lakini leo narudisha shukrani zangu za dhati toka moyoni
Binadamu anapokufukiria huna budi kusema Asante.

Nguo kama hizi na nyingine nyingi zinapatikana Duka la Binti Afrika lililoko Kinondoni B, Karibu na Msikiti wa Mtambani.
Mnaweza kupita kuangalia yatakayowaburudisha


Asante sana BINTI AFRICA

Email: bintiafrica@rocketmail.com
Simu: 255 653 777 774


No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive