JUMAPILI 24 JULY, NYUMBANI PALISHAMIRI SHANGWE TENA

Sina haja ya kumtambulisha huyu anajulikana pooooooooote

Beautiful girls



Katika kuendelea kutambua support ya watu ambao wako na sisi bega kwa bega, katika shida na raha EDWARD URIO, ambaye kwa bahati mbaya alishindwa kuingia ndani siku ya utoaji Tuzo kutokana na hali yake kuwa tete.........Ilibidi aipokee jumapili "BEST MALE SUPPORTER"



Na SIR KIM TENGA akairudi rasmi jumapili mbele ya umati
"BEST MALE SUPPORTER" of all time



Hatungeweza kutoa kwa kila mtu, ila tunashukuru tena kwa watu wanaoiamini MACHOZI BAND na kuendelea kutupa nguvu ya kufanya kazi.

MEDIA ILIOPATA TUZO ila kwa bahati mbaya muwakilishi wake bado hatujamfikia ni ISSA MICHUZI BLOG




Amani iwe nanyi

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive