RATIBA YA SANYA SANYA WEEK END HII

Alhamis ya Tar 26 May 2011. Machozi Band itakuwepo Nyumbani Lounge

Ijumaa ya tar 27 May LADY JAYDEE na Machozi Band watakuwepo Mzalendo Pub
Beba Shangwe mfukoni na raha kiunoni, hakuna kukaa chini kwenye viti

Jumamosi Lady JayDee na Machozi Band watakuwepo The Arcade - Mikocheni kujumuika na kufurahia pamoja na wapenzi wa football baada ya Match ya Fainali ya UEFA Champions League kati ya Manchester United na Barcelona

Na Jumapili Machozi Band itamalizia Nyumbani Lounge
Mpango mzima hapa ni kuvalia tu vizuri
Flowers piga kiatu chako matata kionekane
Friends na wadau baneni kwa pembeni muangalie show

See you there

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive