MSANII MPYA C-SIR
Mambo vipi,
Nachkua nafasi hii kukushkuru sana kwa support unayoendelea kutupatia kiukweli bila mchango wako hatuwezi fika popote.
Sisi kama TETEMESHA RECORDZ tumejiwekea malengo ya kuwa tunajaribu kutafuta wasanii wachanga kabisa lakini wenye vipaji na kuwapika kisha kuwatambulisha katika music industry hapa TZ.
Tulianza na HUSSEIN MACHOZI, akafuata SAJNA na sasa ni zamu ya msanii mwingine mpya C-SIR MADINI kutoka Mwanza.
Huyu tunaemtambulisha sasa jina lake kamili ni PETER MPONEJA, na jina lake lingine la nyumbani ni MASISA, hilo MASISA lilikuwa jina la babu yake, na kutoka katika hilo ndio akaamua kulifupisha kuwa SISA na ndilo anatumia katika muziki lakini katika matumizi ya Muziki litakuwa likiandikwa C-SIR. ila kwa ukamilifu wake tunaomba mumpokee kwa majina mawili yaani C-SIR MADINI.
Huu ndio wimbo wake wa kwanza kutoka, na utakuwa katika album yake ya kwanza ambayo bado tunaendelea kuirekodi. Video ya wimbo huu imekwishafanyika chini ya ADAM JUMA wa NEXT LEVEL na itatoka siku chache zijazo.
SONG'S DETAILS
Track Name: KIFUNGO HURU
Artist: C-SIR MADINI
lyrics composed by: C-SIR MADINI, KID BWOY & JOSEFLY
arranged by: C-SIR MADINI & KID BWOY
Produced by: KID BWOY
Mixed by: KID BWOY
Studio: TETEMESHA RECORDZ
Contacts: C-SIR MADINI: 0712-719004
KID BWOY: 0713-131073
KUSIKILIZA NYIMBO ZOTE ZA BONGOFLAVA INGIA BONGO STARLINK BLOG
Labels:
JIDE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
MSANII mahiri na mwandishi wa script katika filamu nchini Tanzania Susan Lewis aka Natasha kwa sasa ni mtangazaji katika Redio Uhuru, a...
-
Wapenzi wadau na wasomaji wa napenda kuwafahamisha kuwa Geofrey Mwakibete wa MO BLOG ambaye amebahatika kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wash...
-
SALAM, Napenda kutoa shukurani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu, Familia yangu, Marafiki zangu, mashabiki wangu, wadau na watanzania wot...
-
Na imani kuwa hii sehemu watakuwa wanaruhusu watu wa umri flani tu Nimetumiwa na Kheri Elninyo
-
Today is my husband's Birthday. He is the big 40. I'm not sure he's all that happy about it, but hey what can you do. Time ma...
-
Frederick Hubbard Gwynne was born on July 10, 1926 in New York, New York. He is most famous for playing the role of the Frankenstein like H...
-
Mwezi November ni mwezi wangu wa kutoa shukrani Kuanzia tar 1 - 30 nitakuwa navaa nguo nyeupe tu kama ishara ya kushukuru Nashukuru kwa Nuru...
-
I know it's Christmas Eve, and all, so I should be talking about Christmas-y things, but I wanted to share this little glimpse into our ...
-
Today, we continued our tour with visits to a couple more Springs. A bit of editorial comment, if you want the story of the tour please drop...
-
MISSJESTINAGEORGE.BLOGSPOT.COM imechaguliwa kuwa mojawapo ya blogs ambazo zitakazo chuana vikali katika kuwania ushindi wa kutafuta BLOG...
Popular Posts
-
MSANII mahiri na mwandishi wa script katika filamu nchini Tanzania Susan Lewis aka Natasha kwa sasa ni mtangazaji katika Redio Uhuru, a...
-
Wapenzi wadau na wasomaji wa napenda kuwafahamisha kuwa Geofrey Mwakibete wa MO BLOG ambaye amebahatika kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wash...
-
SALAM, Napenda kutoa shukurani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu, Familia yangu, Marafiki zangu, mashabiki wangu, wadau na watanzania wot...
-
Na imani kuwa hii sehemu watakuwa wanaruhusu watu wa umri flani tu Nimetumiwa na Kheri Elninyo
-
Today is my husband's Birthday. He is the big 40. I'm not sure he's all that happy about it, but hey what can you do. Time ma...
-
Frederick Hubbard Gwynne was born on July 10, 1926 in New York, New York. He is most famous for playing the role of the Frankenstein like H...
-
Mwezi November ni mwezi wangu wa kutoa shukrani Kuanzia tar 1 - 30 nitakuwa navaa nguo nyeupe tu kama ishara ya kushukuru Nashukuru kwa Nuru...
-
I know it's Christmas Eve, and all, so I should be talking about Christmas-y things, but I wanted to share this little glimpse into our ...
-
Today, we continued our tour with visits to a couple more Springs. A bit of editorial comment, if you want the story of the tour please drop...
-
MISSJESTINAGEORGE.BLOGSPOT.COM imechaguliwa kuwa mojawapo ya blogs ambazo zitakazo chuana vikali katika kuwania ushindi wa kutafuta BLOG...
Followers
Search This Blog
Blog Archive
-
▼
2011
(597)
-
▼
May
(45)
- YA LEO
- YALIOJIRI WEEK END......
- NYUMBANI LOUNGE JUMAPILI.
- RATIBA YA SANYA SANYA WEEK END HII
- YANAYO ENDELEA NYAMONGO
- UTAKAVYOKUTANA NAVYO NYUMBANI LOUNGE
- WASHINDI WA SHINDANO LA KUHESABU SHOWS ZA JAYDEE &...
- PIC OF THE DAY..
- WIMBO MPYA WA NURU "The Light" na Mr.Chocolate Flava
- HABARI NJEMA KWA WASANII CHIPUKIZI WA KIZAZI KIPYA
- ZIARA ZA MH.MAKALLA SEHEMU MBALI MBALI
- MSANII MPYA C-SIR
- Ralph Malph from the TV Show Happy Days played by ...
- DIASPORA III - PART 1
- MIX TAPE YA WAKAZI
- MBELE.
- JUMAPILI NYUMBANI LOUNGE - MACHOZI BAND ILITUMBUIZA
- Selling a Piece of My History - the Chicken is Lea...
- MIAKA KUMI YA SBC - SHEREHE ZILIFANYIKA MOVENPICK ...
- HAFLA FLANI HIVI ILIFANYIKA MLIMANI CITY.......BAA...
- NEEMA ALIZALIWAGA MWEZI MAY
- More savings.
- PIC OF THE DAY..
- KAI MAEMBE AMESHINDWA KUSUBIRI....KAAMUA KUMALIZAN...
- MISS ARUSHA
- BUFFET LA JUMATANO HII
- KAJALA KWENYE MOVIE MOJA NA KANUMBA
- INATEGEMEA UNAPENDELEA KULA KWA STYLE GANI, YA KIS...
- TUNAANDAA EVENTS MBALI MBALI - NYUMBANI LOUNGE
- TUMALIZIE STORY ZA GREECE
- WANGU - Jide Feat: Blue
- IJUMAA HII NITAKUWEPO MZALENDO PUB KAMA KAWAIDA
- PIC OF THE DAY
- Potsie Weber from the TV show Happy Days played by...
- WANAMUZIKI WAKONGWE
- BBA IMAGES FROM DAY 4
- KILA ALHAMISI NYUMBANI LOUNGE WANAPIGA MACHOZI BAN...
- WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA TAWI JIPYA NA KU...
- PRE PARTY YA BIRTHDAY YA SHY-ROSE, SHEREHE ZINAEND...
- LEO NI SIKU YA KUZALIWA MWANAHARAKATI SHY-ROSE BHANJI
- NEW VIDEO BY SHAA - CRAZY
- SHEREHE ZA MUUNGANO UK - KATIKA PICHA
- TAARIFA
- BIG BROTHER AMPLIFIED PREMIER PARTY @NYUMBANI LOUNGE
- UKISTAAJABU YA MUSA
-
▼
May
(45)
No comments:
Post a Comment