HABARI NJEMA KWA WASANII CHIPUKIZI WA KIZAZI KIPYA

HABARI NJEMA SANA KWA WASANII CHIPUKIZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA..

Je wewe ni msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya?
Umerekodi wimbo wako lakini haupigwi redioni?
Unaamini wimbo wako ni mzuri na unaweza kuwakamata mashabiki?

Kama jibu ni ndio basi hii ni habari njema sana kwako, Kampuni ya PROMO MEDIA ENTERTAINMENT ni waandaaji wa kipindi kipya cha redio
“CLUB BONGO “. Kipindi kitaanza kurushwa rasmi tarehe 04/06/2011 kuanzia saa tatu kamili usiku hadi saa nne kamili usiku kupitia PASSION FM. Na kitakuwa kikikujia hewani kila siku ya jumamosi saa tatu hadi saa nne kamili usiku.

Kipindi hiki ni kwa ajili ya kupromoti nyimbo za wasanii chipukizi wenye nyimbo nzuri lakini wameshidwa kuzipeleka redioni..

Leta wimbo wako katika ofisi zetu, Ofisi zetu zipo nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA BUILDING…

Leta wimbo wako mapema, wasanii watakao leta nyimbo zao mapema ndio watakao pata nafasi ya kwanza kupigiwa nyimbo zao redioni…

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu namba
0652458398 AU 0788363058..

Kwa walioko nje ya Dar es salaam, Tuma kazi yako kwenda kwa:
Managing Director,
PROMO MEDIA ENTERTAINMENT
P.O.Box 35967
Dar es salaam.

PROMO MEDIA ENTERTATINMENT, MKOMBOZI WA WASANII CHIPUKIZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA.

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive