UKARIMU WA ZANZIBAR SERENA INN

Ukaribishwe mlangoni na juice kwanza mbali nakushushiwa mizigo na kufunguliwa mlango wa gari


Bella alionja tam tam hiyo


Uniform zao zimekaa katika hali ya usafi sana hata jinsi wanavyoongea wanatia moyo utamani kuongeza siku za kukaa hata kama ilikuwa ulale usiku mmoja

Chumbani kuna kila unachokihitaji, kama ni mpenzi wa wine utakutana nayo mezani tu ukiingia
Kama ni mgonjwa utakutana na matunda mezani pia ........"Hiyo nimetania"


Ukitaka ku swim bwawa lipo tena pembeni ya bahari


Sehemu ya kupunguza stress a.k.a Maliwato

Private Bar iko ndani ya chumba pia, bora tu mfuko uwe fresh maana uki check out tu unakutana na bill yako reception. Sasa usijeingia ukaanza kunywa ukadhani ni za bure zimelipiwa pamoja na chumba utaumia






Sehemu ya kulia chakula nayo inatazamana na bahari

Nilipata fursa pia ya kutembelea chumba cha massage na kufanyiwa, nitatuma picha ngoja niziangalie kwanza kama zinafaa au zitaleta mgogoro maana massage si mwaijua heeh!!!

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive