NYUMBANI LOUNGE

Hatujaanza rasmi kutoa huduma zote, bado ni polepole polepole
Ufunguzi rasmi utafanyika wiki ijayo na wadau mbalimbali wataalikwa

Kuanzia Jumatatu mapaka ijumaa mchana kutakuwa na buffet
Na kila siku ni chakula cha aina tofauti tofauti, cha Kiswahili

Menu ya leo Jumanne kwa watakaopenda kupita mchana kujaribu ni kama ifuatatvyo

SUPU YA MBUZI
VIAZI VITAMU
SPINACH

MAHARAGE YA NAZI
WALI WA MBOGA MBOGA
KUKU WA RANGI RANGI
UGALI

DAGAA
NA NYAMA

Unaweza ku reserve Meza kama una mazungumzo yako private au hafla fupi unataka kuifanya pale bila kuzuia wateja wengine pia kuendelea na shughuli zao


Chakula cha Jumanne kikiwa tayari nita post baadhi ya picha mpate kuona muonekano na ku imagine ladha yake itakuwaje.
Karibuni kwenye Buffet Monday - Friday. Mchana

Asanteni kwa marekebisho.....Ubinaadam

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive