DRUG FREE ZANZIBAR FASHION SHOW

Mgeni rasmi Waziri Mawasiliano michezo na utalii Visiwani Zanzibar Mh. Abdulahi Jilad Hassan akibadilishana mawazo Ms.Maryan Olsen Event Organizer wa Onesho la mavazi la kutokomeza utumiaji wa madawa ya kulevya visiwani Zanzibar na udhamini kutokaVodacom Foundation lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Hoteli ya Serena.

MC Sauda Simba Kilumanga akifungua maonyesho ya mavazi.



Mkurugenzi wa Kampuni ya Explore Zanzibar waandaaji wa Onyesho hilo Maryam Olsen akihamasisha wadau waliohudhuria Onesho kusaidiana katika kupambana na utumiaji wa madawa ya kulevya visiwani humo.




Miss Tanzania Genevivi akionyesha ubunifu wa mitindo


Picha ni Vijana waliokuwa wakitumia madawa ya kulevya na kuamua kuacha na kuanzisha taasisi yao ambayo inayotoa masaada kwa vijana ambao ni addicted na madawa ya kulevya kutoa ushauri nasaha na kuwapatia hifadhi kwenye Sober house mpaka wanaporudi katika hali ya kawaida, wakionekana kuwa na nyuso za furaha

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive