MSAADA....................

Ndugu wazazi wenye mapenzi mema. Katika pilika za kuhangaika huku na kule. Tukapata taarifa Wcope inahitaji group toka Tanzania la watu 5 tukawa tumeandika barua na kujibiwa kujiunga nao ni doral 1775 USD wao wanashughurikia kila kitu hadi nauli yetu na sehemu ya kuishi kule ni juu yao sasa mwisho ni tar 28/02/2011 Kama mtanzania mwenye mapenzi mema sana kama unavyoelewa jinsi gani ninavyohangaika na hali yangu kiuchumi nilivyo.

Wewe unaweza kunisaidia kadili ya uwezo kwani hata wewe una majukumu na familia na unaweza kumwelezea mzungu au mtu yoyote rafiki yako ukawa umenisaidia mimi kuweza kwenda kupata maisha mapya.

Suala hili naomba likuguse sana. Wewe ni mtu muhimu sana asante nitashukuru endapo utanipa jibu. Nitakutumia documents zetu zote


No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive