PRIVATE WHITE PARTY @ NYUMBANI LOUNGE.......INVITEES ONLY

Hakuna story kwenye white party zaidi ya kuwaandikia majina ya wale ninaowafahamu kwenye hizi picha...........Yule wa katikati anaitwa Quick Racka ni msanii wa HipHop kizazi kipya hapa Tanzania




DJ Steve B alisababisha

Zawadi ya manyoyanyoya toka kwa Ally Reymtullah kushoto kwangu ni Mwanangema

Khadija Mwanamboka na Marsha Seif



Msanii Chipukizi wa kizazi kipya Grace Matata alikuwa ni sehemu ya burudani


Albino Flani





Yule mrefu kuliko wote nimemsahau jina

Hii haihesabiki katika mahesabu yetu ya shows
1. Ilikuwa ni kwa kujifurahisha tu
2. Mpiga Kinanda alikunywa safari Lager wakati wa kupiga, mimi naimba Wangu yeye anapiga wimbo mwingine tofauti na ninachokiimba mimi,
naona ilikuwa haimuingii akilini


Lakini ilikuwa ni kujjiburudisha tu
na yote kheri


Kusema za ukweli party ilinoga, ukiachilia mambo mengine madogo madogo ya ki ubinaadam yaliojitokeza hapa na pale


Mzee Peter ndani ya Mng'aro

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive