15 JUNE

Its My Birthday today 15 June
Ni siku yangu ya kuzaliwa, najivunia na kumshukuru Mungu kwa kumpa nguvu mama yangu Martha Mbibo kunihifadhi tumboni, kunileta duniani kunilea na kunifunza ujasiri na ustahamilivu mpaka leo nipo hapa nilipo kwaajili ya busara zake.

Nampendaga sana Mama

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive