PICHA ZA SHEREHE YA KUZALIWA BINTI MACHOZI - NYUMBANI LOUNGE "Part 1"

Microphone Cake

Hafla hiyo ndefu ya kusherehekea kuzaliwa kwa Jide ilifanyika Nyumbani Lounge Dar es salaam



Ester Ulaya hujali kuhusiana na Jide siku zote

Nillah, Masha & Bijoux


Jide, Gardner, TID na Bob Junior

Msanii wa kizazi kipya anaejua kuvaa kuliko wote alilishwa keki kuwakilisha wasanii wengine



Mzee Peter alilishwa keki kwa niaba ya wadau wengine wote wa Nyumbani Lounge, ni BIG SUPPORTER wa Machozi Band "Mlezi wa wana"

Zainul wa Mo Blog

Wasanii wa kizazi kipya, Bongo Flava TID, LAMAR, JIDE, JAFFARAI na SAM MACHOZI


RAY, KANUMBA, JIDE na HARTMAN MBILINYI

Bob Junior wa Sharo Baro records ndio alietengeneza wimbo mpya "WANGU" na ndie anaetesa kwa kipindi hiki kwa kutengeneza hits za wasanii mbalimbali nchini Tanzania
Cha kwetu tukikumbatie vya wengine tuwaachie wenyewe

Miraji Kikwete alikuwepo pia

Aunt Ezekiel, Asia Idarus walikuwa ni sehemu ya waalikwa




Picha zote hizi zimechukuliwa katika blogs za Issa Michuzi na Mo Dewji blog
Shukrani za dhati ziwaendee wale waliohudhuria na kuifanya siku ifane

Shukrani pia kwa wote walioshiriki kuhudumia:

Nguo ya Birthday Gal ni Zawadi toka kwa Jackie Ngongoseke aliitoa siku ya hafla za miaka kumi ya Lady JayDee

Hereni ni zawadi toka kwa swahiba wa siku nyingi Khadija Mwanamboka Mpiganaji
Viatu ni zawadi toka kwa Shy-rose Bhanjia Mwanaharakati
Nywele zilitengenezwa na Marcell

Keki toka kwa Faraji na Esta Ulaya

Shukrani kwa Captain G Habash kusimamia show yote

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Popular Posts

Followers

Search This Blog

Blog Archive