NAFASI ZA KAZI
MaishaMema Education & Training Centre ni kituo cha Elimu, Mafunzo, Utafiti na Ukuzaji Maarifa. Kituo kupitia mradi wa SEXUALITY EDUCATION & AWARENESS PROJECT ( SEA Project ) kituo kinatangaza nafasi za kazi ya usambazaji CDs, VITABU, na MAJARIDA yanayo anadaliwa na kituo.
CDs, vitabu na majarida vinatakiwa kusambazwa kwenye NGOS, CBOS, FBOs,CSOs, Secondary Schools, Colleges & Universities, National Libraries & Bookshops, katika wilaya zote za Tanzania Bara.
SIFA ZA MWOMBAJI NAFASI .
1. Umri miaka 18 hadi 45.
2.Elimu kidato cha nne, sita na kuendelea.
3. Akiwa na uzoefu na kazi ya usambazaji itakuwa ni sifa ya ziada.
4. Nidhamu na awe na uwezo wa kufanya kazi kwa kujituma bila kusimamiwa na mtu.
Tuma barua yako ya maombi kwenda kwa:
Managig Director,
MAISHAMEMA EDUCATION & TRAINING CENTRE.
P.O.Box 35967,
DAR ES SALAAM.
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 20/06/2011..
Kwa waliopo DAR ES SALAAM, leteni barua zenu za maombi ofisini kwetu. Ofisi zetu zipo katika shule ya Sekondari PERFECT VISION, iliyopo nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.. Mwisho wa kupokea barua za maombi kwa waombaji wa DAR ES SALAAM ni tarehe 17/06/2011..
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA : 0652458398 AU 0788363058 AU TEMBELEA TOVUTI YETU : http://www.maishamematanzania.blogspot.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kuna njia nyingi sana ambazo watu huwa wanajaribu ili kupunguza mwili na tumbo lakini either zinakuwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na m...
-
I look back on our trip back here every once in a while. It seems like so long ago, almost as if it was a lifetime. In fact, we haven't...
-
RB ndio hiYOOO.... inasemekana Mkuu wa Mkoa sijui na Mkuu wa Wilaya ndio waliwakamata wakawasweka ndani, vuliwa mikanda viatu na kadhalika.....
-
Hizi picha ni kwa kunogesha tu muonekano, unaweza pika ikawa tamu lakini si lazima itokee muonekano wake kama ambavyo picha hizi zinaonekana...
-
Ni mkarimu saaaaaaaaana na ana upendo wa dhati moyoni Hapo nyumbani kwake mtakula, mtakunywa ni home away from home
-
ABOUT MY COLLECTION: ''So a gentleman is someone who's polite, intelligent, talented, modest, well dressed, well groomed, and ...
-
Biblia inasema, wote wamtiiyo bwana atawabariki mjini, mashambani, kazi za mikono yao, na hata kizazi chao chote! Mungu ameibariki ndoa y...
-
Baadhi ya nyumba za zamani kaisa enzi za mababu ziko kitalii zaidi, Lindi Mjini Mitaani si ndio pako hivi Kiumbe wa baharini anaitwa Urumb...
-
One of my new favorite shows ... is Kung Fu Panda. There are some amazing one liners in there that just blow my mind ... Anyhow ... the gir...

Popular Posts
-
Kuna njia nyingi sana ambazo watu huwa wanajaribu ili kupunguza mwili na tumbo lakini either zinakuwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na m...
-
I look back on our trip back here every once in a while. It seems like so long ago, almost as if it was a lifetime. In fact, we haven't...
-
RB ndio hiYOOO.... inasemekana Mkuu wa Mkoa sijui na Mkuu wa Wilaya ndio waliwakamata wakawasweka ndani, vuliwa mikanda viatu na kadhalika.....
-
Hizi picha ni kwa kunogesha tu muonekano, unaweza pika ikawa tamu lakini si lazima itokee muonekano wake kama ambavyo picha hizi zinaonekana...
-
Ni mkarimu saaaaaaaaana na ana upendo wa dhati moyoni Hapo nyumbani kwake mtakula, mtakunywa ni home away from home
-
ABOUT MY COLLECTION: ''So a gentleman is someone who's polite, intelligent, talented, modest, well dressed, well groomed, and ...
-
Biblia inasema, wote wamtiiyo bwana atawabariki mjini, mashambani, kazi za mikono yao, na hata kizazi chao chote! Mungu ameibariki ndoa y...
-
Baadhi ya nyumba za zamani kaisa enzi za mababu ziko kitalii zaidi, Lindi Mjini Mitaani si ndio pako hivi Kiumbe wa baharini anaitwa Urumb...
-
One of my new favorite shows ... is Kung Fu Panda. There are some amazing one liners in there that just blow my mind ... Anyhow ... the gir...

Blog Archive
-
▼
2011
(597)
-
▼
June
(52)
- JUMAPILI NYUMBANI............
- IT PAYS TO BE A TANZANIAN
- Columbo played by Peter Falk
- ALHAMISI TAR 23 JUNE, MBALI NA HIYO IJUMAA TARR 24...
- Stumbled Upon an Old Friend's Creativity
- NENO LA SIKU
- JIDE Feat MTUKUDZI - Mimi ni Mimi, WIMBO UMEREKODI...
- Picha zetu za siku ya leo ni hizi
- OLIVER MTUKUZI ALIVYOTUMBUIZA NYUMBANI LOUNGE JUMA...
- JayGONGA WHITE PARTY 17th 2011 at Trinity ilivyoku...
- MTUKUDZI YUPO DAR TAYARI KWA SHOW YA USIKU NYUMBAN...
- KOFIA
- SHAM THABEET ALIZALIWAGA TAR 18 JUNE, Alishereheke...
- Alhamis Tar 16 Palikuwapo na Show, Hali Kadhalika ...
- Albino Fulani Ft Pipi - Usihofu *Brand New Video*
- JUMAPILI YA TAR 19 JUNE.
- KUTOKA KWENYE CAMERA YA BINTI MACHOZI - ALBUM NYIN...
- JUMAPILI 5 JUNE 2011 SHOW NYINGINE YA MACHOZI BAND...
- LUNCH YA PAMOJA NA WATU WA KARIBU
- HAPPINESS DAUDI KATUMA MAUA
- MUENDELEZO WA WALIOZALIWA JUNE
- SALAAM ZA B'DAY KWA LADY JAYDEE
- TANGAZO....
- PICHA ZA SHEREHE YA KUZALIWA BINTI MACHOZI - NYUMB...
- OLIVER MTUKUDZI & BLACK SPIRIT KUPIGA NYUMBANI LOU...
- Luke Skywalker from the Star Wars saga played by M...
- 15 JUNE
- WALIOZALIWA JUNE
- JUMAPILI YA TAR 12 JUNE SHOW YA MACHOZI BAND ILIKU...
- WANA SMOKE SHEESHA??
- SHOW NO??????? ALHAMISI @NYUMBANI LOUNGE
- INCASE UNAHITAJI KUJUA RATIBA YANGU YA IJUMAA INAY...
- Sanya Sanya SHOW No. ?????????? Ijumaa MZALENDO PU...
- PIC OF THE DAY
- WATOTO WAWILI NA KARIBIA ANAMALIZIA NYUMBA YAKE......
- TANGAZO.
- FASHION 4 VISION ANNUAL MASQUERADE GALA
- DIAMOND YUKO UGHAIBUNI KWENYE TOUR
- KANYE WEST SIGNS D'BANJ AND DON JAZZY TO HIS RECOR...
- FESTIVAL
- WHITE PARTY NYINGINE IJUMAA YA TAR 17
- JUMAPILI NO.........??????????????????? KWA WANAOL...
- Jeff Conaway who played Bobby Wheeler on the TV sh...
- PRIVATE WHITE PARTY @ NYUMBANI LOUNGE.......INVITE...
- VIWANJA VINAUZWA
- TAR 3 JUNE, SHOW NUMBER ??????? ILIKUWA MZALENDO P...
- ALBINO FLANI ATOA MSAADA SHINYANGA
- SANYA SANYA YA MACHOZI BAND WEEK END HII ILIANZIA ...
- BINTI ALBINO ALIETAKA KUUWAWA ANAHITAJI MSAADA
- NAFASI ZA KAZI
- ZAMU YA DIAMOND - HOLLAND
- SIKU WHITE PARTY YA JAYGONGA ILIPOFANYIKA NYUMBANI...
-
▼
June
(52)

No comments:
Post a Comment