Tutatoa tuzo kwa wanamuziki wenye Nidhamu, waliokaa muda mrefu, wanaojituma jukwaani, pamoja na wanaojua kujiweka sop sop katika swala la mavazi
Pamoja na sifa zingine mbalimbali ili kuzidi kuijenga himaya yetu
Jide hatohusika katika Tuzo hata mojawapo ya hizo maana yeye ndio mtoaji
No comments:
Post a Comment