منتديات عطعوط: xnxx سكس عربى افلام سكس قصص سكس صور سكس جنس عرب محارم 89 sex
ZANZIBAR MADUKANI
Wakati wako busy kupiga picha zao na sisi tunawapiga kuzirusha
Hivi vitu vinasadikika kuwa ni vya zamani sana enzi hizoooooooo na vinauzwa bei kali sana kutokana na historia yake, japo vinaonekana vimechakaa na vimejaa vumbi na ukungu.
Ukizubaa baiskeli inaweza kukupitia kwenye njia hizi, Kila kona nikipita naulizwa eti wewe mdogo wake JayDee?? nawajibu eeh eeeh Mwili unaniponza
Kama tulichukue tuongeze vyombo Machozi Band
Kwa zamani hivi vilikuwa vinatumika kama viatu vya kuendea msalani kwakuwa hakukuwa na sakafu ya cement ni udongo, mchanga na maji maji ila kwa sasa zinatengenezwa kama mapambo yenye mfano wa viatu hivyo vya zamani vya msalani. Na pia unaweza ukavitumia kama hanger ya kutundikia nguo au mikanda. Chaguo ni lako
Binafsi hupendelea saaaaaana, sana vitu vya aina hii kwa mapambo
No comments:
Post a Comment