Lengo ni kuwajumuisha pamoja, kufurahi pamoja na kudumisha usawa wa binaadamu.
Katika kunogesha hafla hizo wasanii mbali mbali wa muziki hapa nchini hualikwa pia ili kuwapa nafasi wahusika wa hafla hiyo ambao huwa hawapati fursa mara kwa mara kuwaona wanamuziki wanaowapenda.
Chezeaaa Kiba, alikuwa msafiiiiiiii unaogopa hata kumgusa usije ukamchafulia shati lake jeupe bure
KUTOA NI MOYO SIO UTAJIRI
No comments:
Post a Comment