NMB YAZINDUA MPANGO MAALUM WA KUSAIDIA WAFANYABIASHARA NCHINI
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Amina Masenza, akizindua rasmi chombo maalum kwa wafanyabiashara ambao wanakopa NMB likiwa na lengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya benki hiyo na wateja wake.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii NMB Shy-Rose Bhanji akiongea kabla ya uzinduzi.
No comments:
Post a Comment