Mbunge wa Jimbo la Mvomero Amos Makalla ( kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa elimu ya kidato cha nne katika shula ya Sekondari ya Doma iliyopo Wilayani humo , Mkoa wa Morogoro , ambaye pia anatarajia kufanya mtihani wake Oktoba mwaka huu , wakati wa mahafali ya pili ya kidato cha nne yaliyofanyika Septemba 21, mwaka huu Shuleni hapo.
MAHAFALI YA SEKONDARI YA DOMA - MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero Amos Makalla ( kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa elimu ya kidato cha nne katika shula ya Sekondari ya Doma iliyopo Wilayani humo , Mkoa wa Morogoro , ambaye pia anatarajia kufanya mtihani wake Oktoba mwaka huu , wakati wa mahafali ya pili ya kidato cha nne yaliyofanyika Septemba 21, mwaka huu Shuleni hapo.
travel google
No comments:
Post a Comment